Usaili Tume ya Utumishi na Ajira

Usaili Tume ya Utumishi na Ajira

Bzmana

Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
12
Reaction score
1
Habari wanaJF?

Leo nilikuwa pale Maktaba Complex kwa usaili wa kada fulani. Ilikuwa interview yangu ya kwanza kufanya na Utumish. Hawa watu wanaosaili pale Utumishi hakika ni watu wanaojua kazi yao, na ni wakarimu sana na humtia moyo msailiwa.
 
Ahahahaa hapo ndo atajua na ndo atakapojua sasa maana ya kukutia moyo na ukarimu wao.
 
Hajua kitu kinaitwa system,ndio mana hatutaki wazee kwenye uongozi.coz wanachofanya ni kurithishana
 
Back
Top Bottom