mtafutaji2016
Senior Member
- Jun 19, 2016
- 105
- 46
Jamani tasaf wametoa majina ya usaili utakaoanza tar 16 mwezi huu wa 4..nimeitwa kwenye usaili..ningependa kujua mshahara wa tasaf na pia kazi zao ni za mkataba au la? Na kama ni mkataba je ukiisha huo mkataba unapewa mwingine??
Nawasilisha
Nawasilisha