Usaili TAKUKURU

Taarifa kwa kifupi ni kwamba walioingia Depo CCP mwaka jana Mwezi April(Wachunguzi)na walioingia Depo CCP June(Wachunguzi Wasaidizi)wote walimaliza Depo kwa pamoja tarehe 29/9/2022 hivyo wapo makazini sasa hivi(nilihudhuria Passing Out yao CCP siku hiyo)
Hizi ni kazi mpya zilizotangazwa January 2023
Mwenye swali aulize kabla sijalewa maana leo ni weekend
 
Jarkata ndo kitu gani?
 
Nakumbuka walishafanyaga usaili, mwanzo nilijua ni list mpya kumbe ni walewale walioitagwa mwaka jana.
Cdhan mdogo angu ndio ameomba kwa mara ya kwanza majuz tu hapo na jina Lake limetoka hajafanya usahili wowote ule
 
Cdhan mdogo angu ndio ameomba kwa mara ya kwanza majuz tu hapo na jina Lake limetoka hajafanya usahili wowote ule
Ni list mpya, wale wa mwanzo walishaajiriwa. Hizo ndio taarifa nilizopata. Hongera zake sana
 
Jamani msaada kwa anaejua muundo wa maswali ya oral interview ya takukuru. Ahsanteni.
 
Mbwembwe nyingi Ila watu wanatafuna takrima kama Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…