Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 1,686 Reaction score 1,758 Aug 11, 2015 #1 Habari wasaka tonge wenzangu. Kwa wale waliopigiwa simu na NIT, naomba tujuzane muda wa usaili, pia kwa mwenye uzoefu sio mbaya akitumegea kidogo. Ni nafasi zile za tutorials pamoja na lectures kama sijakosea. Ahsanteni.
Habari wasaka tonge wenzangu. Kwa wale waliopigiwa simu na NIT, naomba tujuzane muda wa usaili, pia kwa mwenye uzoefu sio mbaya akitumegea kidogo. Ni nafasi zile za tutorials pamoja na lectures kama sijakosea. Ahsanteni.
M mapenz matam JF-Expert Member Joined Aug 14, 2012 Posts 214 Reaction score 262 Aug 11, 2015 #2 Mkuu kwani washaita watu jamani
prospa JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 554 Reaction score 157 Aug 11, 2015 #3 Mi nimepigiwa but ni written sasa sijajua kama ndo yale mambo ya kuchoreshana tena au ni vipi ?
B bnhai JF-Expert Member Joined Jul 12, 2009 Posts 2,846 Reaction score 2,401 Aug 11, 2015 #4 Wameita nafasi zote
M mundu m Senior Member Joined Jun 11, 2015 Posts 119 Reaction score 18 Aug 11, 2015 #5 usaili utafanyika tar ngapi?
Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 1,686 Reaction score 1,758 Aug 12, 2015 Thread starter #6 mapenz matam said: Mkuu kwani washaita watu jamani Click to expand... Mi nimepigiwa cm jana
Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 1,686 Reaction score 1,758 Aug 12, 2015 Thread starter #7 mundu m said: usaili utafanyika tar ngapi? Click to expand... 14/08/2015
Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 1,686 Reaction score 1,758 Aug 12, 2015 Thread starter #8 prospa said: Mi nimepigiwa but ni written sasa sijajua kama ndo yale mambo ya kuchoreshana tena au ni vipi ? Click to expand... Mi kuna mtu alikuwa na cm yangu, so akapokea yeye, ila mda amesahau...ni saa ngapi!??
prospa said: Mi nimepigiwa but ni written sasa sijajua kama ndo yale mambo ya kuchoreshana tena au ni vipi ? Click to expand... Mi kuna mtu alikuwa na cm yangu, so akapokea yeye, ila mda amesahau...ni saa ngapi!??
M MICHOH Member Joined Dec 3, 2014 Posts 15 Reaction score 5 Aug 12, 2015 #9 Ngonyani. said: Mi kuna mtu alikuwa na cm yangu, so akapokea yeye, ila mda amesahau...ni saa ngapi!?? Click to expand... Mimi mwenyewe nimeitwa ni sa 2 asubuhi kwa tutorial assistant position.
Ngonyani. said: Mi kuna mtu alikuwa na cm yangu, so akapokea yeye, ila mda amesahau...ni saa ngapi!?? Click to expand... Mimi mwenyewe nimeitwa ni sa 2 asubuhi kwa tutorial assistant position.
M MICHOH Member Joined Dec 3, 2014 Posts 15 Reaction score 5 Aug 12, 2015 #10 prospa said: Mi nimepigiwa but ni written sasa sijajua kama ndo yale mambo ya kuchoreshana tena au ni vipi ? Click to expand... Inabidi kukaza tu ndugu yangu, huwezi jua unaweza kuta ndo nafasi yako
prospa said: Mi nimepigiwa but ni written sasa sijajua kama ndo yale mambo ya kuchoreshana tena au ni vipi ? Click to expand... Inabidi kukaza tu ndugu yangu, huwezi jua unaweza kuta ndo nafasi yako
Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 1,686 Reaction score 1,758 Aug 12, 2015 Thread starter #11 Yaani inabidi kukaza kwa kweli
I iconman Member Joined Mar 4, 2014 Posts 28 Reaction score 13 Aug 12, 2015 #12 Vip jaman kwa mliomba tutorial assistant kwenye position za IT mmeitwa.
Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 1,686 Reaction score 1,758 Aug 12, 2015 Thread starter #13 Nahisi...maana walisema kuwa umeitwa kwenye interview...post sidhani kama walisema ni zipi
M mundu m Senior Member Joined Jun 11, 2015 Posts 119 Reaction score 18 Aug 12, 2015 #14 jana nimekuta missed call naomba mniwekee no. yao nicheck kama ndio no yao.
M mundu m Senior Member Joined Jun 11, 2015 Posts 119 Reaction score 18 Aug 12, 2015 #15 niliomba post y procurement vip kuna aliyeitwa?
Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 1,686 Reaction score 1,758 Aug 12, 2015 Thread starter #16 mundu m said: jana nimekuta missed call naomba mniwekee no. yao nicheck kama ndio no yao. Click to expand... Ya mezani mkuu
mundu m said: jana nimekuta missed call naomba mniwekee no. yao nicheck kama ndio no yao. Click to expand... Ya mezani mkuu
M mundu m Senior Member Joined Jun 11, 2015 Posts 119 Reaction score 18 Aug 12, 2015 #17 Du! aisee ndio wameshanitosa mm nliomba oline nadhani inaweza kuwa sababu.
M MICHOH Member Joined Dec 3, 2014 Posts 15 Reaction score 5 Aug 12, 2015 #18 mundu m said: jana nimekuta missed call naomba mniwekee no. yao nicheck kama ndio no yao. Click to expand... 0222400846 hiyo ndo namba waliyonipigia
mundu m said: jana nimekuta missed call naomba mniwekee no. yao nicheck kama ndio no yao. Click to expand... 0222400846 hiyo ndo namba waliyonipigia
M MICHOH Member Joined Dec 3, 2014 Posts 15 Reaction score 5 Aug 12, 2015 #19 Ngonyani. said: Habari wasaka tonge wenzangu. Kwa wale waliopigiwa simu na NIT, naomba tujuzane muda wa usaili, pia kwa mwenye uzoefu sio mbaya akitumegea kidogo. Ni nafasi zile za tutorials pamoja na lectures kama sijakosea. Ahsanteni. Click to expand... Jaman mwenye uzoefu na hizi interview za vyuo atupe mwanga kidogo.
Ngonyani. said: Habari wasaka tonge wenzangu. Kwa wale waliopigiwa simu na NIT, naomba tujuzane muda wa usaili, pia kwa mwenye uzoefu sio mbaya akitumegea kidogo. Ni nafasi zile za tutorials pamoja na lectures kama sijakosea. Ahsanteni. Click to expand... Jaman mwenye uzoefu na hizi interview za vyuo atupe mwanga kidogo.
prospa JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 554 Reaction score 157 Aug 12, 2015 #20 Hi Guys , vipi tupe mambo yanakwendaje wamesema ni written interview sasa sisi wengine tulimaliza vyuo 5yrs back je wanaweza kuwa wanafanya mitihani ya real proffessional or ni ile mitihani ya interview / appitute tests
Hi Guys , vipi tupe mambo yanakwendaje wamesema ni written interview sasa sisi wengine tulimaliza vyuo 5yrs back je wanaweza kuwa wanafanya mitihani ya real proffessional or ni ile mitihani ya interview / appitute tests