Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,686
- 1,758
Habari wasaka tonge wenzangu.
Kwa wale waliopigiwa simu na NIT, naomba tujuzane muda wa usaili, pia kwa mwenye uzoefu sio mbaya akitumegea kidogo.
Ni nafasi zile za tutorials pamoja na lectures kama sijakosea.
Ahsanteni.
Kwa wale waliopigiwa simu na NIT, naomba tujuzane muda wa usaili, pia kwa mwenye uzoefu sio mbaya akitumegea kidogo.
Ni nafasi zile za tutorials pamoja na lectures kama sijakosea.
Ahsanteni.