wanaosaili ni utumishi au tume ya ajira? hata hivyo maswali mengi huwa wanauliza yale mliyofundishwa hivyo tumia muda mwingi kupitia notice zako za chuo na pia kama kuna wenzio mnaweza kufanya discussion kama vile mnaingia kwenye paper ya chuo
wanaosaili ni utumishi au tume ya ajira? hata hivyo maswali mengi huwa wanauliza yale mliyofundishwa hivyo tumia muda mwingi kupitia notice zako za chuo na pia kama kuna wenzio mnaweza kufanya discussion kama vile mnaingia kwenye paper ya chuo