Mitomingi8s
Senior Member
- Jan 17, 2011
- 132
- 39
Hello wanajamii kuna yeyote anayejua kuhusu second interview ya DTB kwa wale waliofanya interview, post ya Officers Internal Audit. Nijuzeni progress wameshaita? maana walipiga tu simu
Hello wanajamii kuna yeyote anayejua kuhusu second interview ya DTB kwa wale waliofanya interview, post ya Officers Internal Audit. Nijuzeni progress wameshaita? maana walipiga tu simu
Jaman si ni zile ambazo deadlne ilikua jumamosi?wameita lini jaman. Duuu
wameshaita tayar na watu wamepga written interview yenye maswal 35 kwa dakika 20! na training imeshaanza kwa baadhi ya post pia!
wameshaita tayar na watu wamepga written interview yenye maswal 35 kwa dakika 20! na training imeshaanza kwa baadhi ya post pia!
Duu haswaa je vipi post ya Internal Audit officer wameshaita kwenye hiyo training? maana mimi nilipiga tu hiyo written
Hata mm niliomba bank officer ambayo deaadlne ilikua tar 23 ndo nkashangaa kusikia watu wameitwa humu ndan alhamis ya tar 27 na washafanya written ndo nikashngaa walifanya lin izo process?au ndo walikua wana watu wao tayar?iyo post ata me nimeomba deadline ilikua tarehe 23 me bado cjapata info yoyote
Nmesikia kuna watu humuhumu ndani. Wameitwa na alhamisi walikua washfanya written tayar wanasubiria majib ya oral,nmeshangaa maana deadlne ilikua tar 23 but tar 27 tayar watu wanaanz kuuliza majib ya written test!kwakwel nmeshangaa wameita lin?na pepa wamefanya lini?au ndo tuseme walikua na wat wao tayar?hii kwel tzwadau zile post za banking officers DTB zilikua deadline 23/08/2014 kuna mwenye taarifa yoyote?
Nmesikia kuna watu humuhumu ndani. Wameitwa na alhamisi walikua washfanya written tayar wanasubiria majib ya oral,nmeshangaa maana deadlne ilikua tar 23 but tar 27 tayar watu wanaanz kuuliza majib ya written test!kwakwel nmeshangaa wameita lin?na pepa wamefanya lini?au ndo tuseme walikua na wat wao tayar?hii kwel tz
Nmesikia kuna watu humuhumu ndani. Wameitwa na alhamisi walikua washfanya written tayar wanasubiria majib ya oral,nmeshangaa maana deadlne ilikua tar 23 but tar 27 tayar watu wanaanz kuuliza majib ya written test!kwakwel nmeshangaa wameita lin?na pepa wamefanya lini?au ndo tuseme walikua na wat wao tayar?hii kwel tz