Heshima mbele Wadau,
Nina safari ya kuelekea Mbeya nikitokea Jijini Dar es Salaam. Nlikua naomba kujua yafuatayo:
[*] gari linalofanya safari kutokea Dar-Mbeya (ambayo ni luxury na ni salama sio kukimbizana)
[*] Nyumba ya wageni (lodge au hotel) iliyo salama na bei ya Mtanzania wa kawaida (Economy Class. Nitashukuru ikiwa karibu na stendi ya mabasi
Natanguliza shukrani zangu wadau.