jashmoe32
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 1,098
- 437
Heshima mbele Wadau,
Nina safari ya kuelekea Mbeya nikitokea Jijini Dar es Salaam. Nlikua naomba kujua yafuatayo:
[*] gari linalofanya safari kutokea Dar-Mbeya (ambayo ni luxury na ni salama sio kukimbizana)
[*] Nyumba ya wageni (lodge au hotel) iliyo salama na bei ya Mtanzania wa kawaida (Economy Class. Nitashukuru ikiwa karibu na stendi ya mabasi na pia mkintajia gharama ya hoteli au lodge
Natanguliza shukrani zangu wadau.
Nina safari ya kuelekea Mbeya nikitokea Jijini Dar es Salaam. Nlikua naomba kujua yafuatayo:
[*] gari linalofanya safari kutokea Dar-Mbeya (ambayo ni luxury na ni salama sio kukimbizana)
[*] Nyumba ya wageni (lodge au hotel) iliyo salama na bei ya Mtanzania wa kawaida (Economy Class. Nitashukuru ikiwa karibu na stendi ya mabasi na pia mkintajia gharama ya hoteli au lodge
Natanguliza shukrani zangu wadau.