Usafi wa visima vya maji ni muhimu sana

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
Kuna raha yake kunywa maji ya kisima kisafi, unakuta kisima hakina mautando juu, na nyasi pembeni simefyekwa vizuri.

Ukiangalia maji unaona hadi mchanga wa chininya kisima, yaani kisima kinakuongezea kiu mara dufu.


Sasa kuna visima kichwa ngumu, yaani hata ukitoka na makiu yako huko, kukiona tuu kiu inakataa. Kwanza nyasi zilivyo jaa huwezi kujua hata wapi pa kunywea maji, na hata kuiona shehemu yenyewe ina utandoo hadi maji yamebadirika rangi.

Umoja wa wanywa maji umeniomba nifikishe ujumbe huu kwa wamiliki wote wa visima.

Visima bora kwa afya ya wanywaji.

Hakuna raha kubwa duniani kama ta kunywa majinya kisima kisafi na kinacho tunzwa.
FB_IMG_1590870505424.jpeg
 
Leo ni kampeni ya usafi wa visima.. kuondoa kero kwa wanywaji maji..
kujashikwa na kiu eneo ambalo halina kisima kisafi ww hata ya matope ya bwawani utakunywa!!

Sema ukikuta hakijasishwa jitahidi kisafishwe kabla ya matumizi yako.
 
Kuna raha yake kunywa maji ya kisima kisafi, unakuta kisima hakina mautando juu, na nyasi pembeni simefyekwa vizuri.

Ukiangalia maji unaona hadi mchanga wa chininya kisima, yaani kisima kinakuongezea kiu mara dufu.


Sasa kuna visima kichwa ngumu, yaani hata ukitoka na makiu yako huko, kukiona tuu kiu inakataa. Kwanza nyasi zilivyo jaa huwezi kujua hata wapi pa kunywea maji, na hata kuiona shehemu yenyewe ina utandoo hadi maji yamebadirika rangi.

Umoja wa wanywa maji umeniomba nifikishe ujumbe huu kwa wamiliki wote wa visima.

Visima bora kwa afya ya wanywaji.

Hakuna raha kubwa duniani kama ta kunywa majinya kisima kisafi na kinacho tunzwa.View attachment 1467506
Binafsi nimekuelewa bibie...raha ya kisima usafi,sio kisima kimezngirwa na nyasi,mautando na harufu ya ajabu looh.

Kisima kikiwa kisafi ata Radha ya chumvi Kwenye maji huihisi kabsa.... ahahaaa
 
Nyie wamiliki wa visima na mabwawa ya maji,jitahidini kuweka mazingira safi,hata punda ikipita ikanywa maji basi kisafishe hicho kisima,ondoa magugu maana wananzengo tunayategea hayo maji ya kisimani kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo huwa mna haraka mno. Kwani huwezi kukisafisha utakavyo ndio ukaanza kunywa hayo maji??? Kuna raha yake kitu ukisafishe mwenyeweeee, unakiangaliaaa, unapata mshawasha wa kutoshaaaaa
 
Je sisi tulioweka water pump kwenye visima na kuhifadhi maji kwenye Simtank tunacomment wapi?
 
Kuna mtu kaja pm hapa eti juzi alikua na kiu ya maji, akakimbia kwenye kisima cha karibu, cha ajabu pori alilo likuta likamfanya apoteze oahisa kiu ya maji.

Kujilazimisha akatia timu hivo hivo, bwan eti kazi ikawa kufumba macho ili kuvuta hisia maana kila akifungua macho utando juu ya maji unamtoa kiu.. ikabidi anywe huku macho amefumba.
Tatizo huwa mna haraka mno. Kwani huwezi kukisafisha utakavyo ndio ukaanza kunywa hayo maji??? Kuna raha yake kitu ukisafishe mwenyeweeee, unakiangaliaaa, unapata mshawasha wa kutoshaaaaa
 
Back
Top Bottom