101 East JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 1,057 Reaction score 2,244 Oct 21, 2018 #1 Tangu mfalme meiji afanye mageuzi hivi ndivyo 2ajapani walivyo sasa
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,985 Reaction score 189,557 Oct 21, 2018 #2 Tuna ndoto na sisi
MSAGA SUMU JF-Expert Member Joined May 25, 2015 Posts 6,693 Reaction score 21,765 Oct 21, 2018 #3 noma sana
idawa JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 25,298 Reaction score 38,438 Oct 21, 2018 #4 Hiyo picha ya kwanza ni samaki ndani ya mitaro ya mitaani au.?
infantrier JF-Expert Member Joined Jan 1, 2013 Posts 343 Reaction score 126 Oct 21, 2018 #5 idawa said: Hiyo picha ya kwanza ni samaki ndani ya mitaro ya mitaani au.? Click to expand... Nilikua mbioni Kuuliza pia
idawa said: Hiyo picha ya kwanza ni samaki ndani ya mitaro ya mitaani au.? Click to expand... Nilikua mbioni Kuuliza pia
101 East JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 1,057 Reaction score 2,244 Oct 21, 2018 Thread starter #6 Ndio mkuu hao ni samaki ndani ya mitaro
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,436 Reaction score 50,163 Oct 21, 2018 #7 namvumi king said: Tangu mfalme meiji afanye mageuzi hivi ndivyo 2ajapani walivyo sasaView attachment 906459View attachment 906460 Click to expand... "Wipe your phone...." wana sababu za msingi na huenda zimefanyiwa tafiti za kutosha wakaona waweke hiyo na hata kusahau mitaro ikiwa michafu
namvumi king said: Tangu mfalme meiji afanye mageuzi hivi ndivyo 2ajapani walivyo sasaView attachment 906459View attachment 906460 Click to expand... "Wipe your phone...." wana sababu za msingi na huenda zimefanyiwa tafiti za kutosha wakaona waweke hiyo na hata kusahau mitaro ikiwa michafu
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,728 Oct 21, 2018 #8 Kichwa Kichafu said: Tuna ndoto na sisi Click to expand... Ndoto za kuifungia JF kwa sababu inaumbua watekaji!
Kichwa Kichafu said: Tuna ndoto na sisi Click to expand... Ndoto za kuifungia JF kwa sababu inaumbua watekaji!
ikhatibu JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 2,491 Reaction score 2,477 Oct 21, 2018 #9 hao samaki bongo wangevuliwa wote
U UDSM Alumni JF-Expert Member Joined Jan 25, 2015 Posts 2,555 Reaction score 1,389 Oct 21, 2018 #10 ikhatibu said: hao samaki bongo wangevuliwa wote Click to expand... mkuu umenichekesha sana yani bongo ata mitalo ingeziba kabisa....
ikhatibu said: hao samaki bongo wangevuliwa wote Click to expand... mkuu umenichekesha sana yani bongo ata mitalo ingeziba kabisa....
ikhatibu JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 2,491 Reaction score 2,477 Oct 21, 2018 #11 Forensic Anthropologist said: mkuu umenichekesha sana yani bongo ata mitalo ingeziba kabisa.... Click to expand... bongo tunalana
Forensic Anthropologist said: mkuu umenichekesha sana yani bongo ata mitalo ingeziba kabisa.... Click to expand... bongo tunalana
Avriel JF-Expert Member Joined Jun 25, 2017 Posts 4,978 Reaction score 5,417 Oct 21, 2018 #12 Forensic Anthropologist said: mkuu umenichekesha sana yani bongo ata mitalo ingeziba kabisa.... Click to expand... Kwenye mitaro ya mikocheni wapo wengi tu na hatuwavui... Wabongo wastaarabu sana .....teh teh!
Forensic Anthropologist said: mkuu umenichekesha sana yani bongo ata mitalo ingeziba kabisa.... Click to expand... Kwenye mitaro ya mikocheni wapo wengi tu na hatuwavui... Wabongo wastaarabu sana .....teh teh!
Ntolonyonyo JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 2,231 Reaction score 2,358 Oct 22, 2018 #13 marxlups said: "Wipe your phone...." wana sababu za msingi na huenda zimefanyiwa tafiti za kutosha wakaona waweke hiyo na hata kusahau mitaro ikiwa michafu Click to expand... Si mitaro wanasema wanafugia samaki....bila shaka itakua misafi.....sipati picha samaki wa mtaroni alivyo..hahaha
marxlups said: "Wipe your phone...." wana sababu za msingi na huenda zimefanyiwa tafiti za kutosha wakaona waweke hiyo na hata kusahau mitaro ikiwa michafu Click to expand... Si mitaro wanasema wanafugia samaki....bila shaka itakua misafi.....sipati picha samaki wa mtaroni alivyo..hahaha
U UDSM Alumni JF-Expert Member Joined Jan 25, 2015 Posts 2,555 Reaction score 1,389 Oct 22, 2018 #14 Avriel said: Kwenye mitaro ya mikocheni wapo wengi tu na hatuwavui... Wabongo wastaarabu sana .....teh teh! Click to expand... Kweli mkuu wapo nataka nitoke mkoani na nyavu kabisa nije kuvua uko
Avriel said: Kwenye mitaro ya mikocheni wapo wengi tu na hatuwavui... Wabongo wastaarabu sana .....teh teh! Click to expand... Kweli mkuu wapo nataka nitoke mkoani na nyavu kabisa nije kuvua uko
Pure Moods JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 3,252 Reaction score 5,381 Oct 22, 2018 #15 ikhatibu said: hao samaki bongo wangevuliwa wote Click to expand... Aaaa kabisa
ikhatibu JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 2,491 Reaction score 2,477 Oct 22, 2018 #16 Avriel said: Kwenye mitaro ya mikocheni wapo wengi tu na hatuwavui... Wabongo wastaarabu sana .....teh teh! Click to expand... wana fanana na hao kwenye pic?
Avriel said: Kwenye mitaro ya mikocheni wapo wengi tu na hatuwavui... Wabongo wastaarabu sana .....teh teh! Click to expand... wana fanana na hao kwenye pic?
Marco Polo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 13,208 Reaction score 20,954 Oct 22, 2018 #17 namvumi king said: Tangu mfalme meiji afanye mageuzi hivi ndivyo 2ajapani walivyo sasaView attachment 906459View attachment 906460 Click to expand... Tutaamini vipi kama ni Japan na sio kwa mtogole?
namvumi king said: Tangu mfalme meiji afanye mageuzi hivi ndivyo 2ajapani walivyo sasaView attachment 906459View attachment 906460 Click to expand... Tutaamini vipi kama ni Japan na sio kwa mtogole?
N Ninaweza Platinum Member Joined Dec 14, 2010 Posts 14,430 Reaction score 9,889 Oct 22, 2018 #18 Kichwa Kichafu said: Tuna ndoto na sisi Click to expand... Ninyi mmefanikiwa kutekana tu
AgentX JF-Expert Member Joined Mar 7, 2015 Posts 1,651 Reaction score 1,700 Oct 22, 2018 #19 Bado mifereji kupitisha maziwa. Tabata mifereji ina samaki ila viruku, na kambale. Kwa wenzetu raha wabongo smartphone tunafutia katika shati.
Bado mifereji kupitisha maziwa. Tabata mifereji ina samaki ila viruku, na kambale. Kwa wenzetu raha wabongo smartphone tunafutia katika shati.
K kimwerijcb JF-Expert Member Joined Aug 10, 2018 Posts 259 Reaction score 231 Oct 28, 2018 #20 Niko mikocheni hapa naona wachina na watoto wamtaani wanavua misamaki mtaroni alafu ni wengi mno huku
Niko mikocheni hapa naona wachina na watoto wamtaani wanavua misamaki mtaroni alafu ni wengi mno huku