Habari Wandugu,
Mbona sioni mada yoyote jinsi Urussi alivyochakazwa na ukraine juzi? 24 Nov 24? Nasikia mpk machuma sijui S400 chakazwa vibaya, kambi ya jesh na top leader wanne wame R.I.P sa hiv wanaenda kupatana na Talebani aaah kweli vita ni mbaya unaweza kula hata Mavi.
Go home Rusia.........inatosha sasa
Namhurumia Sana Putin masaa 72 bado hayajafika kumbuka kilometers 61 + 10 hivi ya zanaza vita ziliishia kusikojulikana ,sa hivi anatisha Nyau watu wazima eti nuke wakati Ukraine naye anayo nuke Hadi Sasa ,hizo S 400 + 500 zinapigwa kila uchaosa hivi ameokota mawe anamtishia Zelensk ,Putin akili kisoda aisee
More than 100,000 soldiers have been charged under Ukraine’s desertion laws since Russia invaded in 2022, according to the country’s General Prosecutor.
Habari Wandugu,
Mbona sioni mada yoyote jinsi Urussi alivyochakazwa na ukraine juzi? 24 Nov 24? Nasikia mpk machuma sijui S400 chakazwa vibaya, kambi ya jesh na top leader wanne wame R.I.P sa hiv wanaenda kupatana na Talebani aaah kweli vita ni mbaya unaweza kula hata Mavi.
Go home Rusia.........inatosha sasa