hizi leseni ni wajibu wa serikali za mitaa,wapewe jukumu hili,TRA NI TAASISI kubwa ijikite zaidi katika kuthibiti vyanzo vikuu vya mapato vya nchi,mfano jee TRA inawajua watanzania wenye offshore accounts ambao hawalipi kodi pamoja na kujiingizia mapato makubwa?ni aibu kwangu kuona TRA inakimbizana na kodi za leseni ambazo local gorvt.ingekuwa ni wajibu wao ikiwa ni pamoja na usajili wa magari kwenye maeneo yao,means gari za mtwara zingekuwa na namba tofauti na za pale kagera,na hili lingesaidia utambuaji wa magari haya kuliko sasa nchi nzima ina mfumo mmoja na wala huwezi kutambua kuwa hii gari imeandikishwa pale Lingusenguse au kibosho