MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Kitwete angalau umeondoa aibu na kujisemea ukweli unaouidumaza wilaya ya Urambo, hilo ni kweli kabisa wilaya híi ya Urambo ni kama haina wabunge kabisa kwani majukumu yao walishayasahau na kukalia maneno yasiyoleta tija kabisa kweli hii inasikitisha sana na hii nanukuu "NASHANGAA KUÖNA WATOTO WA BABA MMOJA HAWAELEWANI" Dr huyo wa heshima aliyatamka maneno hayo kwa uchungu sana na kuwaönea huruma watu wa Urambo, Haya watu wa Urambo na Kaliua mambo ndo hayo yamewekwa hadharani endeleeni kukumbatia nge mkidhania ni rafiki kumbe ana sumu kali inayoweza kuua, kwanza wabunge wenyewe wamekula kona hata Rais ameingia bila hata kukaribishwa na wenyeji wake Sita na Kapuya, badilikeni mpaka muambiwe nini ndio muelewe?