Urais 2015: Tundu Lissu atafaa zaidi CHADEMA


kama ni hivyo basi lisu ataifaa sana Tanzania kutokana na hali tuliyofikia.. Nchi imejaa mafisadi na majambazi na mikataba feki. Unadhani raisi atakaepambana na haya mambo anapaswa aweje? Lazima awe hana huruma wala sura ya kuonea watu aibu.. ila mwisho wa siku kwakuwa kuna UKAWA basi tumsapoti yeyote yule ambae UKAWA watampa nafasi. Lengo namba moja ni kuiangusha serikali ya ccm.
 
Kwa mtazamo wangu mi naona lisu anafaa kuwa waziri mkuu na dr awe rais
. Ila huko mbeleni anaweza pewa huo wadhifa
 
Kwa mtazamo wangu mi naona lisu anafaa kuwa waziri mkuu na dr awe rais
. Ila huko mbeleni anaweza pewa huo wadhifa
Tatizo Dr hawezi kushinda hata kama CHADEMA na CUF wanaungana kwa jina la UKAWA.DR SLAA hatapata kura za wafuasi wa CUF na sababu inafahamika.CHADEMA msifanye hili kosa
 

hako kajamaa ni kagonjwa jamani. Kwani nyie hamjui historia yake? Basi uombe uelezwe.jazba yake muionayo inatokana na tatizo hilo sio ushujaa wake binafsi.
 
CHADEMA (UKAWA) wakitaka CCM wachanganyikiwe mwaka huu, na kubadilisha mchezo mzima wa kunyang'anyana kiti cha urais, Oktoba, 2015, wamchague Tundu Antiphas Lissu kupeperusha bendera ya UKAWA/CHADEMA. Kwa mjibu wa utafiti wangu, watu wanamwona Lissu kama "GameChanger".

Vitu vitakavyowavuta wananchi na kuamua kumpa T. A. Lissu kura zaidi ya asilimia 90 ni hivi hapa:

1. Uzalendo wake wa kuipigania nchi kwa dhati. Tumeona jinsi anavyosimamia ukweli bungeni na kuwavua nguo mafisadi (akiwemo John Pombe) bila woga wala kuogopa mtu yeyote. Jina lake na rekodi alizoziweka bungeni mpaka kesho zinarindima kwenye vichwa na masikio ya wananchi.

2. Ni msomi "pragmatic" mwenye weledi wa hali ya juu wa kujenga hoja "consistently", "logically" na kuzisimamia mwanzo mwisho.

3. Ana akili timamu, sio za kukopa wala za kuchanganya, ana uwezo mkubwa wa "kutrigger mental faculties" na "kureact" "contingently" kwa kuangalia hali halisi. Kwa hali hiyo ataweza kukabiliana na maswali ya aina yoyote na kuyajibu kwa unyoofu bila kusuasua wakati wa kampeni za kuwania urais.


4. Ni Kijana mwenye nguvu, "very energetic" na "mechanical", Magufuli hakaribii hata 1/4. Kwa hali hii atakimbiza kwenye mchakamchaka wa kampeni mwanzo mwisho.

5. Ana "data" mpaka "anaboa" ambazo atazitumia kuwashtaki maCCM kwa wananchi. Ana uwezo wa kufanya "derivations" zinazohusu ufisadi na udhalimu wa CCM mpaka watu "wablow"!

Badala ya kukariri data za urefu wa barabara na idadi ya dagaa ziwa Victoria kama afanyavyo Magufuli, zisizokuwa na mantiki yoyote kwa mustakabali wa nchi, yeye uwezo wake upo kwenye "kuerupt detailed logical data" na kuzitumia "kuvalidate" jambo analolisismamia.

6. Ana uwezo wa kuongea kwa sauti kubwa na inayosikika vizuri ukilinganisha na Magufuli ambaye kiswahili tu ni shida, zaidi ya kuimba nyimbo za ajabuajabu kwa kiswasukuma kama vile "mselema mselema mselema" na kauli ya "sitawaangusha wanaCCM wenzangu".

7. Kikwete mwenyewe atatetemeka sana atakaposikia Lissu anagombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA maana anamwogopa Lissu kuliko mtu mwingine yeyote hapa duniani, kama unabisha kamwuulize yeye mwenyewe. Hofu na kihoro atakachokipata Mh. Kikwete kitaambukiza wanaCCM wengine, na CHADEMA/UKAWA itakuwa imeshinda vita kabla ya kupigana. Tundu Lissu kwa Kikwete ni "Devastating". J. M. Kikwete anamwona Tundu Lissu kama jinamizi linalokaba na kutoa roho ya mtu!

8. Mtaani ninapoishi, sehemu ninapofanyia kazi zangu za kila siku, na wapenda mabadiliko wote kutoka CCM na CHADEMA/UKAWA, hata wasiokuwa na vyama wanasema Tundu Antiphas Lissu ni zaidi "SEAL Team Six" kwa CCM.

LifeHacker
 
Urais Ni Zaidi Ya Uujuavyo, Na Sio Kila Mtu Anafaa, Sikatai Lisu Ni Moja Ya Wanasiasa Machachali Na Wanaokubalika Sana Lakini Ni Mzuri Kwenye Secka Yake Ukimtoa Nje Ya Ile Secka Unakuwa Umemwalibu Na Ndio Maana Tunalia Na Ccm Waziri Wa Michezo Wanampeleka Wizala Ya Fedha Unazani Pataenda Hapo?
 
Nalisema hili na hata msipolifuata basi ila tutakumbukana. UKAWA mmetuvuruga, leo kazi zetu zimeharibika hata nguvu tuliyokuwa tunaitumia kuwagonga CCM, imepungua.

Ili tueleweke, Mzee Slaa arudi jukwaani aseme alimzushia mzee Lowassa. Pia authibitishie UMMA kuwa hata tuhuma nyingine juu ya CCM bado hana uhakika kama ambavyo hakuwa na uhakika kama Lowassa ni Fisadi na ndio maana leo tunampokea.

Hapa sasa hivi tunasukumiana mpira. Kama Lowassa alizushiwa kipindi kile mbona hakwenda mahakamani? Na sasa CCM wanaosema Lowassa ni fisadi mbona tena mzee huyu haendi mahakamani?

Kwa mgombea waliyemuweka CCM, mpambanaji mwenye nguvu anahitajika. Ili tupate wabunge wengi wakupunguza majibu ya ndiyo mpambanaji anayetisha na anayeweza kushangaza umma ni Tundu Lissu. Japo hatakubali au kuwa na confidance kuongea yote wanayoyasemaga kuhusu CCM wakati nyuma yake kakaa mwanachama mtiifu wa CCM ambaye kakitumikia chama tangu azaliwe.

Sina maslahi yoyote na Tundu Lissu ila kiti cha Urais tusiwe na ndoto za mchana. Mmenichanganya sana leo.

 
Last edited by a moderator:
Mbona ccm wanaweweseka hawakujua huyu jamaa ana mafuriko au walijua ni mchafu.....naskia akijiunga na CHADEMA atamwaga mbivu na mbichi kuhusu Richmond....naskia kutokuzungumzia jambo hilo pale Arusha ilikuwa ni km counter attack kuwapiga bao ccm hasa swahiba wake JK....yarabi toba kumbe TB JOSHUA hakukosea......CCM MTANYOOKA TU MWAKA HUU.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…