Urafiki haukomi kwao wapendanao

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
May 4, 2012
3,022
1,305
36956e5aba8fdbbab2a72a9da3e8b954.jpg
 
Aaah
Mbwa wetu hawa wa manzese mara kazunguka kwenyw dampo, sjui kafukuzwa anaiba samaki kwa mama mwanaisha.
Asee haez kuja kulala hivo na mtoto, kwanza nikimkuta anafukuzwa
 
Kuna siku wife alisema ole wako nimuone mbwa wako amekaa kibarazani. Nkamwambia je akilala karibu na mtoto pamoja kama wazungu. Akasema ntazimia kwa hasira. Akamalizia na hii kauli yako katema na mate
:D:D:D:D:D

Na mimi natema mate, poo.

Sie Waswahili Kiongozi.

Wazungu akili zao wanazijua wenyewe.

Yaani Wazungu ni hamnazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom