Upweke umenifanya nitoe

Upweke umenifanya nitoe

Joined
Apr 10, 2013
Posts
71
Reaction score
14
Hello! Mabest Wa Pande Hiz. Nadhan Mpo Pouwah Kabsa.Mimi Katika Maisha Yangu Napenda Kuwa Na Marifki Weng Na Wa Sehem Mbalimbali Hi Nikutokana Na Ukiwa Na Marafiki Pia Wanakupa Changamoto Za Haya Maisha.Ila Kwa Upande Wangu Sasa Iv Mda Mwing Nmejikuta Nikiwa ALONER {mwenyewemwenyewe} hi nkutokana na kubadilisha mazngra nlyo kuwa nakaa awal.so nahtaji marafki watao npa company ya kuchat katka hi namba apa 0756408423
 
nikuja haraka haraka kwa mshangao nikadhani unataka kutoa .........
 
Nlijua umetoa naniliuuuuu, kumbe namba...hiyo mbona kila mtu anayo...
 
ngoja waje wale pasua kichwa wa NAIGERIA ndo utaona cha mtema kuni kugawa no yako hovyo
 
Haaaa mitu mingine bana!! Ww ni me au ke ili tu opt kuchukua au kuiwacha hiyo namba
 
Back
Top Bottom