Alafu wewe unaogopa wanaume wasio na kazi kama mimi wakati sisi ndio wanaume wazuri kwa ndoa?? Eti tunalala! hutaki tulale? tunalala na kila kitu mnatupa,ebo!
Inshallah dua yako iwe ya kheri!lkn ndoa kwangu sio masikhara kama kwako wewe...haihusiani na uolewa na yoyote bali kuolewa na mtu sahihi....na naamini nimetengwa fungu hilo...shukran
Inshallah dua yako iwe ya kheri!lkn ndoa kwangu sio masikhara kama kwako wewe...haihusiani na uolewa na yoyote bali kuolewa na mtu sahihi....na naamini nimetengwa fungu hilo...shukran
Sasa hizo ni kashfa! Yaani nimefunga ndoa na honeymoon juu alafu hayo yote kwako ni MASIHARA? Huduma anapata safi kila siku 7 au 6! Wewe tafuta mwanamme rijali tu hayo mengine ya kazi,pesa yatakuja tuu.Nitakuombea kwa YESU UOLEWE!
Habari wana JF.Ni miaka minne na nusu sasa toka niachane na mume wangu,cjawa na mahusiano mengine yoyote kwa kuogopa kuumizwa tena.Lakini kadri siku ziendavyo najihisi mpweke sana,na bado nina woga wa kuumizw.naomba nisaidieni mawazo,nifanyeje?