K Keykey JF-Expert Member Joined Dec 1, 2006 Posts 3,251 Reaction score 750 Aug 13, 2011 #1 Kwa hisani ya MICHUZI
afrodenzi Platinum Member Joined Nov 1, 2010 Posts 18,152 Reaction score 9,268 Aug 13, 2011 #2 halafu unawashwa kwa siku moja tu... au ndo watauacha kimoja...
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,433 Aug 13, 2011 #3 Kipanya ana akaili sana, anazijua fika mbini na magirini ya watawala wetu
V Venchto Member Joined May 4, 2011 Posts 6 Reaction score 0 Aug 13, 2011 #4 kipanya noma. Big up sana
Ringo Edmund JF-Expert Member Joined May 10, 2010 Posts 4,879 Reaction score 1,134 Aug 13, 2011 #5 Kp kichwa.
B Bajabiri JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 9,728 Reaction score 1,209 Aug 13, 2011 #6 Ukitembelea wall yake ya facebook,utacheka sana
Prof Gamba JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 390 Reaction score 266 Aug 13, 2011 #7 Big Kipanya, uko juu kwa katuni.
B bia JF-Expert Member Joined Feb 9, 2011 Posts 257 Reaction score 31 Aug 13, 2011 #9 yupo vizur cna,ccm akipita hapo lazima iume
Apollo JF-Expert Member Joined May 26, 2011 Posts 4,920 Reaction score 3,244 Aug 13, 2011 #10 Badilisha jina la mada hii, huo sio upuuzi. Big up kipanya!
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Aug 13, 2011 #11 afrodenzi said: halafu unawashwa kwa siku moja tu... au ndo watauacha kimoja... Click to expand... kwa thku moja..tena nimeskia kutakuwa na excess ya megawat kama 250 hivi
afrodenzi said: halafu unawashwa kwa siku moja tu... au ndo watauacha kimoja... Click to expand... kwa thku moja..tena nimeskia kutakuwa na excess ya megawat kama 250 hivi
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Aug 13, 2011 #12 apolinaryprotas said: Badilisha jina la mada hii, huo sio upuuzi. Big up kipanya! Click to expand... ni kivumishi.. wewe ndio umeelewa vibaya......wewe mtoto wa kishua nini? manake watoto wa kitaa tushaelewana hapo
apolinaryprotas said: Badilisha jina la mada hii, huo sio upuuzi. Big up kipanya! Click to expand... ni kivumishi.. wewe ndio umeelewa vibaya......wewe mtoto wa kishua nini? manake watoto wa kitaa tushaelewana hapo
Apollo JF-Expert Member Joined May 26, 2011 Posts 4,920 Reaction score 3,244 Aug 13, 2011 #13 Saint Ivuga said: ni kivumishi.. wewe ndio umeelewa vibaya......wewe mtoto wa kishua nini? manake watoto wa kitaa tushaelewana hapo Click to expand... <br /><br /> <br /><br /> hahahahaaa! <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /> hapana bhana. Chumvi iliyotumika imezidi. Teheteheee! Mi borntown mbishi tu. 😉
Saint Ivuga said: ni kivumishi.. wewe ndio umeelewa vibaya......wewe mtoto wa kishua nini? manake watoto wa kitaa tushaelewana hapo Click to expand... <br /><br /> <br /><br /> hahahahaaa! <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /> hapana bhana. Chumvi iliyotumika imezidi. Teheteheee! Mi borntown mbishi tu. 😉
Vinci JF-Expert Member Joined Jul 6, 2009 Posts 2,637 Reaction score 675 Aug 13, 2011 #14 hahahaha....anadhan umekosea!! atembelee jukwaa la KP atagundua uko sahihi Saint Ivuga said: ni kivumishi.. wewe ndio umeelewa vibaya......wewe mtoto wa kishua nini? manake watoto wa kitaa tushaelewana hapo Click to expand...
hahahaha....anadhan umekosea!! atembelee jukwaa la KP atagundua uko sahihi Saint Ivuga said: ni kivumishi.. wewe ndio umeelewa vibaya......wewe mtoto wa kishua nini? manake watoto wa kitaa tushaelewana hapo Click to expand...
K Keykey JF-Expert Member Joined Dec 1, 2006 Posts 3,251 Reaction score 750 Aug 13, 2011 Thread starter #15 Hii nayo!
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,371 Aug 13, 2011 #16 Nadhani ccm hawasomi katuni kama hizi kwani wangekua wanasoma ungekuta washabadilika na kwenda na alama za nyakati
Nadhani ccm hawasomi katuni kama hizi kwani wangekua wanasoma ungekuta washabadilika na kwenda na alama za nyakati
wilbald JF-Expert Member Joined Dec 17, 2007 Posts 1,810 Reaction score 1,378 Aug 15, 2011 #17 Kakalende said: View attachment 35280 Kwa hisani ya MICHUZI Click to expand... kipanya tukupe wizara ipi?
Kakalende said: View attachment 35280 Kwa hisani ya MICHUZI Click to expand... kipanya tukupe wizara ipi?
lutamyo JF-Expert Member Joined Apr 13, 2011 Posts 641 Reaction score 159 Aug 15, 2011 #18 Shine said: Nadhani ccm hawasomi katuni kama hizi kwani wangekua wanasoma ungekuta washabadilika na kwenda na alama za nyakati Click to expand... Ngudu siyo kama Hawazisomi wanazisoma lakini hawazielewi na kujifanya hawazioni kwa sababu matatizo ya Watanzania wao ni mtaji wa kuzidi kujiweka madarakani na kuchota fedha zetu za madafu wakitumia wawekezaji uchwara.
Shine said: Nadhani ccm hawasomi katuni kama hizi kwani wangekua wanasoma ungekuta washabadilika na kwenda na alama za nyakati Click to expand... Ngudu siyo kama Hawazisomi wanazisoma lakini hawazielewi na kujifanya hawazioni kwa sababu matatizo ya Watanzania wao ni mtaji wa kuzidi kujiweka madarakani na kuchota fedha zetu za madafu wakitumia wawekezaji uchwara.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,920 Aug 15, 2011 #19 Huyu jamaa kwa kweli ni kichwa na hizi katuni zake zinafikirisha kwa kweli...
Mzozo wa Mizozo JF-Expert Member Joined May 26, 2008 Posts 426 Reaction score 15 Aug 15, 2011 #20 Hii safi sana.... sasa tunahitaji kuwa na mwamko kidoooogo.