Upinzani ndani ya CCM

OX11R1

Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
29
Reaction score
25
Mimi kama mwana CCM nahimiza wanachama wenzangu tuwe wapinzani ndani ya chama.Kwa hili namaanisha tusipoikosoa chama chetu hiki tukufu, itazidi kuchafuliwa na viongozi wachache ambao sasa wamekuwa miungu watu.

Ombi langu ni tuikashifu makosa yanayo fanywa kama tunavyo pongeza mema yanayotendeka.Tuwache siasa za kishabiki na unafiki.

I submit.
 

SISI SIO WANA CCM, KAWAAMBIE HAO WAZINDAKI WENZAKO
 
Rekebisha lugha yako yaani unataka kukashifu mabaya ama unataka kupinga mabaya.
Lakini pia si mnamfumo wenu wa kuhamasishana na kuonyana ndani kwa ndani?

Kitakachoiua ccm ni unafiki
 

Get a proper job, achana na majungu!
 
Tunaogopa kuziacha familia zetu ukiwa. Hiki chama chetu ukikosoa, jua kabisa wasiojulukana watadili Na wewe.
 
Sawa kamanda
 
Tatizo hao unaosema miungu watu Wapo tayari kukosolewa ndani ya chama?
 
Chama kina kanuni zake,tumia vikao vya chama lakini kama umeshindwa na hayo jihesabu ni mwanachama wa akiba.
 
Mods kaunganisheni huu uzi kwenye nyuzi za misukule ya lumumba
 
Nimeingia sokoni badala ya shambani!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…