KIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 1,370
- 1,507
Jamaa wameimba vyema ila huyo king kaka simuelewagi kabisa anavyochana aise.Ngoja nitoke nje ya mada,,Pia wimbo mzuri ktk maombolezo ukiachana na izo ni Tutaonana baadae wa Josh&Amos ft King Kaka.