Mbona kila watu hapa Tz wana utamaduni wao na kwao wao ni mzuri tu ama mnaongelea wa kurudi makwao ? kuna tamaduni za mavazi,salaamu,makuzi,vyakula n.k alafu mbona kila siku watu wanasafiri makwao ama mpaka iwe sikuu watu waende kwao inakuwa safari ..?