Kwa nini mmeshindwa kumtetea kwa ID zenu zilizozoeleka badala yake mnatumia zile za akiba?
Acheni unafiki, mbona hamkumhoji Slaa alipoitaja ile orodha maanake alisema ushahidi anao?
Mbona Mbowe aliposema anashangaa fisadi Lowassa yupo mtaani ilhali vibaka wanachomwa moto mlikuwa mnakenua tu?.
Nyie jamaa hata hamueleweki mnachokisimamia ni kipi hasa?
Msitufanye wote wajinga humu mazee.
Lazima mlipe gharama za uropokaji wenu.