Upi hasa ufisadi wa Lowassa?


Kuna nyimbo nyiingi mkuu tulikuwa tukiimbishwa enzi zile...Banda wa malawi ni jitu baya sana...jomo kenyatta ni linyan'gau...idd amin dada ni joka kuu jitu katili sana..but.was it true...nenda nchi hizo mkuu ufanye research kidogo tu utaona hao marais ndo waliokuwa wanapendwa sana na wananchi wao wakati ule...kinachotokea ni media feed toka kwa viongozi wetu hasa kutokana na kuhitilafiana na pia chuki za kimaendeleo...ili kujisafisha ni lzm kuwepo na watu watakaosanua ukweli..now we know EL sio fisadi bali ni feeds tulizolishwa na wabaya wake..hasa wa kisiasa kwa manufaa yao binafsi!
 
Siasa ni game inayohitaji akili, ccm km mazuzu wamebadilishana dhahabu na vipande vya chupa...
 

Sasa ndo ueleze huo ufisadi wake , acha blah blah
 
Awe fisadi asiwe fisadi maadamu anashiriki kuiondoa serikali ya magamba nampa kura yangu asubuhi na mapema kama ni fisadi anapiga lifisadi jingine shida ni nini. Mimi hata kama ni mbwa inaongoza mapambano ya kuiondoa CCM madarakani nitampigia mbwa kura siyo CCM. Kwangu mimi kuiondoa CCM ni jambo la kipaumbele kuliko lolote maadam si kwa VITA hata haje mfungwa wa kesi ya ugaidi maadamu ana ajenda ya kuiondoa CCM nitampa kura yangu
 
Kama huo wa kutaka madaraka kwa njia yoyote ata kwa kukana chama chako!,kujiwekea wanamikakati na kuuhakikishia umma kwamba yeye ndio alistahili kwenye kura ya maoni...hakika amekuwa agaist na desturi na malezi ya CCM aliyokuzwa nayo,ila katabia kakazidi kuwa balaa kama hayati alivyotaadharisha!..all in all CCM mbele kwa mbele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…