Updates: Mkutano wa Zitto Kabwe Lindi

Ubaguzi kwa Zitto ndio sera yake,hata huko Kigoma anawaambia wananchi eti Chama nichakwao,inamaana sio chawatu wa Dar,Mwanza,Tabora nakwingine.Siwezi kushiriki huu ubaguzi anaotuletea Zitto,wakati mwingine anafanyia haya misikitini

Duuu,huyo ndiye mzalendo huyo,amuulize kabouru leo yuko wapi?
 
Zitto atawafanya hawa pro-Chadema na viongozi wao wapagawe kila mmoja anataka kupambana na Zitto.

Wacha kutumika wewe,mwaka wa ngapi huu unatumiwa kama peni hapo lumumba?wenzio uhuru na mzalendo wamegoma huko njaa kali
 

Attachments

  • 1435397094854.jpg
    7.9 KB · Views: 76
Last edited by a moderator:
kigoma sio watanzania - ACT ni ya watanzania kwa hiyo Chama ni dhamana yao; concln chama ni chao wana ACT


Kama nichakwao inakuwaje Zitto awe ndio mwenye mamlaka yote nawengine wasiruhusiwe kwa mujibu wa katiba yao?.Inakuwaje yeye ndio awe nembo ya Chama?.Nafasi yake aligombea nanani?.Au yeye ndie mwenye akili kuliko wengine?.Mbona viongozi wote mpaka walinzi wake wawe ndugu zetu wa Kigoma tu?
 
Wacha kutumika wewe,mwaka wa ngapi huu unatumiwa kama peni hapo lumumba?wenzio uhuru na mzalendo wamegoma huko njaa kali
Mimi kujibizana ni wewe ni kujidhalilisha tu Chadema-Kata kama wewe mimi najibizana na mwenye mbwa.
 
Wewe Ritz kwanza malizeni huo mpasuko wenu na Lowasa numulambe miguu mana hawaachi salama.Kwa Chadema utasubiri Sana mpaka utazeeka ukitamani ife na badala yake Ina imarika zaidi.Hela mlizompa Zitto zimekwenda bure na vya wajinga huliwa na mgema!
Kamanda kwa hiyo unamkubali sana Lowassa kuliko Dr.Slaa.
 
Ni wapi hao wenye hila?

Wapo kwny vyama tofauti vya siasa kma ccm, chadema, cuf n.k

Shida yetu watanzania tunapenda vyama kupitiliza na hilo ndio tatizo tunashindwa kuweka uongozi uliobora madarakani na badala yake tunakalia ushabiki wa vyama huku rasilimali zikituhujumu wenyewe
 
Mimi kujibizana ni wewe ni kujidhalilisha tu Chadema-Kata kama wewe mimi najibizana na mwenye mbwa.

Ushasema cdm kata,na umenijibu tayari kwahiyo umejibizana na mbwa tayari,pole sana kwa kutojua nini unafanya
 

Sharti la kuwa mwana act ni lazima ajue kuongea kiha
 



fika ofisi iliyopo karibu na wewe ya act-wazalendo; utapatiwa katiba ya chama; na muundo mzima .

Utapata uongozi utafafanuliwa mambo memngi;

utaomba kama unania ya kuchukua fomu ya udiwani - utapata bila masharti baada ya kuvaa uzalendo na kuachana ukawa.

Karibu.

Pia katiba hipo humu jf; andika katiba ya act utasaidiwa

karibu act ' uwe mzalendo wa kweli
 
Chadema nijanga hutuba makini kabisa ooh eti zitto anatumika mbona kamchana huyo Lowasa hapa bavicha Siasa zenu zachuki hazitowafikisha popote

Hivi ni nini yule aliyesema Lowassa anakaribshwa kwenye kile chama kugombea iwapo atakatwa CCM ili mradi atangaze Mali zake vile?
 
Wewe Ritz kwanza malizeni huo mpasuko wenu na Lowasa numulambe miguu mana hawaachi salama.Kwa Chadema utasubiri Sana mpaka utazeeka ukitamani ife na badala yake Ina imarika zaidi.Hela mlizompa Zitto zimekwenda bure na vya wajinga huliwa na mgema!

CCM kipo madarakani na kabla ya mwaka2005 wapinzani wakubwa wa CCM walikuwa CUF,sasa ni CHADEMA ila ninashangazwa na credibility ya ACT kwa mukhtasha huu:
iweje chama cha upinzani(ACT) kipendwe,kitetewe,na kisha bi kuwa na wapiga Debe wa CCM wote humu jamvini?
wa ukiona siyo tiship au malengo yanafanana?
 
Ubaguzi kwa Zitto ndio sera yake,hata huko Kigoma anawaambia wananchi eti Chama nichakwao,inamaana sio chawatu wa Dar,Mwanza,Tabora nakwingine.Siwezi kushiriki huu ubaguzi anaotuletea Zitto,wakati mwingine anafanyia haya misikitini

Mkuu acha kupotosha. Wewe ndio mchochezi wa ubaguzi. Zitto alisema maneno hayohayo mbeya, Rukwa, Lindi na Kigoma. Na amedhamiria kuyasema hayohayo kilimanjaro na Arusha. Mbona unataka watu waamini alisema hivyo kigoma tu? Watanzania kama wewe ni hatari saana. Hata kama unamchukia Zitto na au chama na sera zake sio kujitoa akili kiasi hichi kuchochea ubaguzi. Kama Bavicha, hii ndio namna ya kupata wafuasi mmeishiwa. Wekeni hoja za ukweli na za uthibitisho watu tutajiunga willingly. Lakini sio kupotosha watanzania.
 

Huyu dogo mbona kila jukwaa anaongelea na kuipa promo udini? dini, Dini, dini!; yeye imekuwa sasa ndio mdini no.1 sababu deen its up to you and your God! hebu atueleze ni dini gani inagawa pilau?? Ame'shindwa kueleza tatizo halisia ambalo ni ule ufa ulioongezeka kati ya walio nacho na walala hoi, :angry: hapo hakuna ubaguzi wa Dini, kabila, rangi, jinsia..bali ni matabaka hayo ni hasimu hadi kieleweke na ref ziko nyingi tu!
 
Kijana mdogo na dini na makabila -Anakemea udini na ukabila

Anasema wanarejesha modernised azimio la arusha

Anasema amefukuzwa chadema ndio maana ameunda act

Wanamsifu lipumba anasema ni mwalimu wake na anamuheshimu
Anasema act wanasiasa safi hakuna matusi
Anasema ameleta chama na tuamue wenywe


Amefukuzwa kwa sababu ya dini?kabila?
 
atasemaje anapinga ukabila na udini ,mmupe ajisikilize alipokuwa Kigoma na Katavi
 
aitheeee mathaweeeee sijaonaga hata kapicha. vipi mathaweeee umelewa mbege nini?



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…