chief bazoka
Member
- Jan 31, 2014
- 97
- 22
Habari wadau,napenda kuuliza update za nafasi walizotangaza nssf za operation officers kama wameishaita interview asanteni
mimi bado sijasikia mkuu!
mkuu big g.hata hiyo tar.ya mwsho imeishia wk jana tu mara h jamani,tuliza mteteHabari wadau,napenda kuuliza update za nafasi walizotangaza nssf za operation officers kama wameishaita interview asanteni
mkuu big g.hata hiyo tar.ya mwsho imeishia wk jana tu mara h jamani,tuliza mtete