Upandishaji wa nguruwe

chichimizi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
1,074
Reaction score
339
Je kupandisha nguruwe waliozaliwa tumbo moja (uzao 1 na wa mama huyo huyo)
Kuna athari zozote kwa vitoto vitakavyozaliwa?

Msaada kwa anayeelewa.

[HASHTAG]#commred[/HASHTAG] Chichimizi
 
nguruwe si binadamu kwamba wasilane , genetic wise hawez toka nguruwe chizi ;: nyama itakuwa tamu hiyo especialy uanze sasa hv ili sikukuuu ya nane nane uwe na banda lako /
 
madhara yapo Ndio! ila kama umeshindwa kabisa kupata dume unaweza pandisha tu kwasababu madhara hayaonekani sana katika F1 generation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…