Uongozi Uliotukuka Ni Mzigo Mzito Mnoooo

mwanamichakato

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
1,183
1,083
Uongozi uliotukuka si wa kukimbilia

Uongozi uliotukuka si wa kuupata kwa fedha/mali

Uongozi uliotukuka si wa kusheherekea

Uongozi uliotukuka si wa kujinufaisha

Uongozi uliotukuka si wa kujitajirisha

Uongozi uliotukuka si wa kupendelea ndugu/jamaa/marafiki

Uongozi uliotukuka si wa kung'ang'ania madaraka

Uongozi uliotukuka si wa kutokosolewa/sahihishwa

Uongozi uliotukuka si wa kununua madaraka
 
Uongozi uliotukuka hakurupuki, unakubali kukosolewa hauna kisasi, haufanyi maamuzi ya kumkomoa mtu .............
 
Back
Top Bottom