Uongozi ni nini?

Kama hamna kiti na meza pia hakuna uongozi?
Ni kweli. UONGOZI lazima uwe na OFISI . Na OFISI lazima iwe na KITI na Meza yake. Bila hivyo vitu kuwamo....maana yake Hilo ni PAGALA.

Note: PAGALA haliwezi kukaliwa na Viongozi.
 
Kama Rais akaavyo mezani na mawaziri kudiscuss issues za taifa hili. Ndiyo hata YESU KRISTU alikua akikaa na wanafunzi wake.

Ukiwa kiongozi lazima uonyeshe UWEZO wako, Nguvu zako na MAARIFA yako.


Note: Kati ya uliowateua , mmoja lazima atakusaliti tu. Ipogo hivyo yaani .hata ukibisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…