ray mark
Member
- Jan 19, 2012
- 19
- 1
Kutokana na yale mapungufu ambayo tayari yamekwisha jitokeza katika uongozi wa ngazi ya juu ya serikal ibasi hatuna budi kwa wenye pages zote kuandika ni jambo gani lifanyike ilikujakuleta mabadiliko dhabiti ya nyanja znzima ya sekta ya uongozi wa nchi, kiongozi atakaye ingia madarakani ni nini anatakiwa afanye kukwepa na kuepuka uongozi mbovu wa kishikaji