DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wewe ni mpumbavu sana tena kada wa CCM kabisaa.......mods naomba nisipigwe BAN nimepitiwa
Kwa taarifa yako tangu mwaka 1994 mimi siko ccm siwezi kuwa kwenye unafiki mimi ila naheshimu utu wa mtu wewe unatakiwa umjuwe kwanza Mungu jambo hutaki utendewe usimtendee mwenzio mimi nimekuwa chadema tangu kichanga ningekuwa mpenda madaraka ningekuwa nafasi za mwanzoni lakini mimi nimeitangaza sehemi za ndani vijini huko
 
Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi ni mpumbavu sana.
 
Kwanini asiupeleke polisi? hapo kuna DAS, DC, RAS na RC kweli hawa wote wanaweza kumshindwa Afisa Elimu? RAS ana mamlaka ya kumhamisha mtumishi yoyote ndani ya Mkoa, kweli anaweza akafanya maovu yote haya bila wao kujua? siamini hata kidogo
Ikiwa shughuli zako hazikupi mwingiliano wa moja kwa moja kama alivuo mtoa mada huwezi kuelewa au kuona, hayo mambo ya hivyo yanafanyika sana. Unashauri mleta mada apeleke ushahidi polisi, uko serious! Hayo ya kulawiti/ kunajisi watoto siwezi kuyaongelea, lakini yanayohusu uhamisho wa mara kwa mara kwa watu walewale, halmashauri ileile kawaida, kugawana/ kuombwa posho hilo linafanywa, unaweza sema ni utashi wa mtoaji ila linawekewa ground. Hilo la kuwa na mahusiano na watumishi wa kike kwa lengo la kuwapa vyeo kawaida, kama unamkeo huku ni mwalimu mkuu, mkuu wa shule, mratibu elimu kata, bro, you are at risk, uniamini usiniamini utajua mwenyewe, huku chini hali iko hivyo. Hivyo sishangai aliyosema mleta mada.
 
Mwenyezi Mungu akulinde na akupe wepesi na umri mrefu ili uendelee kuwa mwakilishi wake duniani. Nami pia naungana na wewe kwa taarifa yako yenye kuakisi maovu mengi ya kweli ambayo walimu wanakutana nayo kazini na maovu hayo yote yapo na yanatendeka kimfumo katika ngazi mbalimbali za kiungozi.

Kwa nini kimfumo? Utakuta viongozi wa walimu ni watu waliofanya kazi sehemu moja kwa muda mrefu na kujenga mazoea kati yao, jambo ambalo linahamasisha upigaji kati yao.

Kiukweli mateso kwa walimu ni mengi sana na hasa walimu wanaofanya kazi vijijini shida ni kubwa na baadhi ya viongozi wanachukulia sehemu za vijijini kama fursa ya utakatishaji wa fedha za umma. Sasa mambo kama haya hayapaswi kufumbiwa macho. Kwa mfano, sehemu nyingi za mijini pesa za nauli za likizo ulipwa mapema lakini kwa halmashauri baadhi za vijijini pesa hizo zinaweza kuchukua hata miaka minne au kulipwa kwa baadhi ya watu ambao utawala unawatambua kimfumo.

Hali kama hizi zinakatisha tamaa na kumpunguzia mwalimu hali kiutendaji. Lakni napenda pia kuipongeza serekali kwa kuleta mfumo wa ESS na mingineyo ambayo inakwenda kupunguza hali hii. Japo kuwa viongozi wenyewe bado kiutendaji hawataki kuendana na mifumo kwa sababu za maslahi yao binafsi. Kimsingi naiomba serekali iongeze mbinyo ili viongozi watumie mifumo katika kufanya kazi na kutatua kero za wananchi.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Ki ujumla, huku Kilimanjaro kuna ujinga mwingi sana. Division ya elimu na Afya wasimamizi wake ni watu wa hovyo sana. Kuna madudu mengi sana huku.
 
Point yangu hujaiewelewa mkuu
 
Huyu jamaa ni mkorofi sana sijui huwa anajiamini kitu haishi vizuri hata na wanaomzunguka hata sasa huko Handeni ana mitifuano mikali na jirani yake.
Inasemekana jamaa ameamua kujenga ukuta kwenye eneo la barabarani ili kumzuia jirani yake aside na sehemu ya kupita kuingia kwake. Jirani yake ambaye inasemekana ni Mwalimu katika Halmashauri ya Mji Handeni jina tunalihifadhi kwa sasa lakini jitihada za kumtafuta mwalimu huyo zimeendelea ingawa hata alipotafutwa alisema hayuko tayari kulizungumzia hilo suala.
Ila huyu jama ni kichomi vibaya hawezi kuishi vizuri na wanaomzunguka.
Kila mahali alipoishi siku ya kuondoka kwake ni nderemo na vifijo.
Chanzo chetu cha taarifa kinaendelea kufuatilia suala hili ambalo linahatarisha amani eneo hilo.
Chanzo chetu pia hakikuishia hapo kilijaribu kuwadodosa mafundi ambao wamepewa kazi ya kujenga eneo hilo wamekiri kuwa wao wanafanya tu kama kazi ila pia wanashindwa kuelewa inawezekanaje kwa mtu muelewa kujenga barabarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…