Piga chombo mzee usiogope, usisahau kupiga maji na chakula.
Hzi story za pombe inaua Figo na ini Achana nazo ...mind you usichanganye pombe kali na Energy drink. Na pombe za bei rahisi usitumie
ARV na utumiaji wa dawa za hospital kiholela ndo vitu vinaua Figo na magonjwa mengine