Unyanyapaa wa Chadema

halafu hawa hawa cdm wazificha ofisi za meli iliyo zama na waliingilia hazina ili kupandisha bei ya mafuta ya taa kuwa juu zaidi kuliko hata ya gari
 
Mavumba nae haeleweki, ndipo Komba akasema "Tena sisi tuna ngumi nyingi kuliko zenu"

umesahau mengine,Mavumba akamwambia nani hii......! "unawashwawashwa"nitakupiga ngumi
 
mara KOVA akakimbilia media eti jasusi la kihabeshi lililozamisha meli jana wamelikamata kwa mzee wa upako ubungo likiungama kwa machungu..tayari limefikishwa mahakamani ....

Hata mimi nimesikia hivyo, kwa hiyo wanataka tusilizungumzie.
 

Yule dogo ninoma jana alipopanda jukwaani ukumbi ulilipuka kwa vilio,kila mtu anasema kwenye meli kuna ndgu yake.
 
Jambo moja ambalo linasababisha CHADEMA wapate wafuasi ni kuzungumza mambo kwa ushahidi.Kuna wakati wametetereka lakini most of the time wanatoa hoja ambazo zina mashiko.
Kuhusu vyombo vya dola ni wazi vina double standard na hili ni jambo la hatari.Kada wa CHADEMA kauawa Igunga lakini mpaka leo hatujasikia viongozi wa CCM wakihojiwa.
Usalama wa Taifa unaangalia maslahi ya viongozi walioko madarakani na ushahidi uko wazi kwani wangefanya kazi yao vizuri EPA na madudu mengine kama kuweka vijisenti abroad yasingekuwepo au wahusika wangekuwa behind the bars.
Kwa ujumla kuna ombwe na mkanganyiko mkubwa na wanachofanya chadema ni kuwazindua Watanzania.
Nakuomba utafute gazeti la raia mwema la wiki hii kuna jamaa kachambua vizuri jambo la vyombo vyausalama.
Tujadiliane kwaamani.
 
CDM Wanataka nchii hii isitawalike. Jana asubuhi huko maeneo ya KIA waliitungua ndege ya ATC kwa kombea, lakini kutokana na umahiri wa rubani akaweza kuiteresha ndege uwanjani salama.

Baada ya kuona hilo jaribio limeshindwa mchana wakaleta UPEPO WA KISIASA ulipelekea kuzama kwa meli ya Karama huko maeneo Chumbe.

Nia ya CDM ni kuichonganisha SERIKALI SIKIVU YA CCM na Wananchi wake.

Tumemuagiza Kamanda Suleiman Kova awakamate na kuwahoji viongozi wote wa juu wa CDM.
 
yule mama waziri wa uwekezaji na uwezeshaji amesema CDM wameliloga lile jengo la machinga complex
 

kwa mtazamo wangu finyu na ufaham wangu mdogo wa siasa naamini ili tanzania iendelee tunahitaji raisi dikteta mwenye amri na sauti na uwezo wa kufanya maamuz magumu lakini pia awe na mapenzi na nchi na wananchi wake katika namna yenye mipaka na uadilifu.
 
halafu hawa hawa cdm wazificha ofisi za meli iliyo zama na waliingilia hazina ili kupandisha bei ya mafuta ya taa kuwa juu zaidi kuliko hata ya gari

Unajua hawa CHADEMA ni wa ajabu sana,wamewaambia madaktari wagome,wakamteka Ulimboka,Juzi wakazima injini za Mv. Seagul, jana wamezamisha meli,afu wakamtuma Hamadi Rashid aseme bunge liahirishwe,baadae Wakamlazimisha Makinda kuahirisha bunge afu wakaficha ofisi za hiyo meli,lengo lao wanataka NCHI ISITAWALIKE!
 
CCM kushinda 2015 si jambo la ajabu.Ikiwa inaweza kuelekeza benki itoe bilioni 33 na yaanzishwe makampuni ya kuzichota na zitumike kwenye kampeni watashindwa nini?
Wananachi ni maskini na tumeshuhudia watu wakiuza vitambulisho vya kura hivyo zikiingia bilioni zingine na wakazimwaga watachukua madaraka tena.
Jambo moja ni wazi nalo ni kuwa nchi inataka mabadiliko makubwa iwe kwa hiari au kwa nguvu na wajanja kama Kikwete walishaliua hilo ndo maana kakubali katiba mpya,kampa dogo Nape cheo kikubwa anajitahidi ku pre empty kabla ya dhoruba.
 
halafu walipasua kioo cha ndege hukohuko angani
 
muongozo ukaombwa tena..eti chadema ni madikteta..wanamiliki msitu wa mabwepande..rangi za magwanda hazivutiii..??

spika akajibu..kwani hayo yametokea chamwino..???

na bunge rikahairishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…