GoodEvening wana JF..
Nilikuwa na swali hv inawezekana MTU aliemaliza form six na Division 3 point 16 akapata chuo cha private au public kuingia degree courses....
GoodEvening wana JF..
Nilikuwa na swali hv inawezekana MTU aliemaliza form six na Division 3 point 16 akapata chuo cha private au public kuingia degree courses....
Kwa maelekezo ya TCU huwezi kuchukua degree katika chuo kikuu chochote labda uanzie na Diploma kwanza,kwani kwa point ulizonazo inamaana una E, E, F katika combination yako na ili uendelee kuchukua degree chuo kikuu hapa nchini unatakiwa uwe na kiwango cha chini cha D mbili katika masomo ya comb yako.
GoodEvening wana JF..
Nilikuwa na swali hv inawezekana MTU aliemaliza form six na Division 3 point 16 akapata chuo cha private au public kuingia degree courses....
GoodEvening wana JF..
Nilikuwa na swali hv inawezekana MTU aliemaliza form six na Division 3 point 16 akapata chuo cha private au public kuingia degree courses....