ungekua Ww Ungefanya Nn?

nurbert

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,887
Reaction score
428
MPENZI wako anakupigia simu kuwa uende kwake haraka sana. Unachukua usafiri unaenda kufka mlangoni anakwambia kuwa leo ni birthday yako, unafurah kwa sababu amekumbuka. Kisha anakwambia akufunge kitambaa usoni akufanyie suprise alivyoremba sebureni, unakubal anakuchukua mpaka kweny kochi unakaa, ghafla simu yake inaita chumbani anakuomba samahani aifuate. Akiwa chumbani wewe USHUZI unakubana unaamua kubinua T@k0 na kujamba "puuu" kisha unajikung'uta unatulia. Badae MPENZI wako anakuja kukufungua kitambaa unakuta watu kibao wamekaa kimya seburen wanasubiri kukuimbia "Happy birthday to you". Je, utafanyeje?
 
jino kwa jino...surprise kwa surprise
 
Nitaimba 'happy birthday to me,happy birthday to me,happy birthday dear ndugu please forgive me'....hapo vp MJOMBA.
 
Teh teh teh, na hiyo ndo ingekuwa sapraiz yao
 
Hahahhaha umenichekesha sana sana sana lol thanks for making my day

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Jamani nina mwezi mzima sijacheka hivi.kweli hii kali
 

nitavunga kibish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…