ndiyomkuusana
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 666
- 426
Ndugu zangu,
Leo nilikuwa nafanya shopping ya vyakula vya nyumbani hapa Mbezi mwisho. nikashangaa kukuta bei ya unga imepanda mpaka tsh. 2000 kwa kilo moja ni hatari, hii nimeambiwa na muuzaji imepanda mpaka tsh.2000 kuanzia jana tarehe 12/02/2017.
Leo nilikuwa nafanya shopping ya vyakula vya nyumbani hapa Mbezi mwisho. nikashangaa kukuta bei ya unga imepanda mpaka tsh. 2000 kwa kilo moja ni hatari, hii nimeambiwa na muuzaji imepanda mpaka tsh.2000 kuanzia jana tarehe 12/02/2017.