Kwa hili tangazo lako hiyo jajojo yako utajojoa mwenyewe. Wewe badala ya kuweka namba ya simu na location yenu unaweka website. Why should I bother for the sake of your business?samahani sana kiongozi, siunajua tena shule za kata!!!! najaribu uwafikia wote!!! www.jajojo.com
pole sana. unapatikana wapi? bei yetu inategemea uko wapi. tukijuwa ulipo tutakupa bei ya 10 kg jumla au rejareja. sembe bora
Asante.
Jajojo.