Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 636
- 851
Mkataba wa unyonyaji ndio upi ? Wa kiislamu ? Wa kikristo ? au wa kiserikali ? Maana yote ni tofauti..Watu wanamix kuoa na kuishi na mwanamke.
Kinachokataliwa ni ule mkataba nyonyaji.
Kila makubaliano ni mkataba hata kukubaliana kuishi pamoja na mwanamke ni mkataba.
Sent using Jamii Forums mobile app