Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
WATU wengi hutumia muda wao baada ya kazi kukaa na marafiki, makundi rika na wengine hufanya mambo ambayo huwazuia kuzifikia ndoto zao.
Wengine hutumia muda wao baada ya kazi kuongeza vipato vyao kwa kufanya miradi binafsi, kuongeza maarifa kwa kujisomea vitabu na majarida mbalimbali, kuhudhuria semina, mafunzo na makongamano.
Muda unaoutumia baada ya kazi unaweza kukuongezea mafanikio au kukupunguzia mafanikio yako katika maisha. ...INGIA
Wengine hutumia muda wao baada ya kazi kuongeza vipato vyao kwa kufanya miradi binafsi, kuongeza maarifa kwa kujisomea vitabu na majarida mbalimbali, kuhudhuria semina, mafunzo na makongamano.
Muda unaoutumia baada ya kazi unaweza kukuongezea mafanikio au kukupunguzia mafanikio yako katika maisha. ...INGIA