Viol ,hahahaaa da jamaa katupa kabisa suluari, Hawa jamaa inabidi tuanzishe kampeni ya kuchapa viboko tu watanyoka , hawa sijui wanatumia unga au bangi:llama:
Mkuu Unauliza UKURUTU KWENYE NGOZI? Mbona Kipo Wazi Tu Kuwa Uvaaji Huu UNAMAANISHA KUWA VIJANA HAWA WANATUTAFUTA UBAYA TUWATAGISHE MAYAI YA MAKAO MAKUU MAPYA MAKUMBUSHO KUTOKEA GEREZANI LUGODA!!!!!
KUtokujitambua yeye ni bani yupo wapi anaelekea wapi ba hatma yake ni nini yote mapito so si kila kitu kiingiacho mjini na ww unataka uwe hivyo be open minded