Mimi natumia Mswaki wa mti,nilipewa na babu yangu mpaka ana kuwa kikongwe hajatoa jino hata moja sijui ni wa mti gani huu mswaki.
Siku hizi ujanja ni kuandika ujinga.Mimi natumia Mswaki wa mti,nilipewa na babu yangu mpaka ana kuwa kikongwe hajatoa jino hata moja sijui ni wa mti gani huu mswaki.
Kwako Kila mwamba ngoma huvutia kwake Soo au ndio unatafuta soko la mswaki wakohazina ubora
Yea. Ila kwa mkoa wa Dar, mikoa mingine sijawahi ikuta.zinapatikana madukan?
Utakuwa umetumia feki. Ile miswaki ni migumu sanahazina ubora
๐ ๐ ๐ ๐ hapo kuitikia unamaanisha nini? Usisugue meno kwa nguvu mzee unayaua. Mimi kuna vimswaki vya kichinavinauzwa maduka ya "little more" vinanibariki sana. Vina brashi zenye ulaini wa kawaida. Safi sanaMiswaki ya siku hizi haina ubora kiukweli.
Mi ni mtu nazingatia sana usafi wa kinywa ila naangushwa na miswaki ya siku hizi, Whitedent ndo ilikuaga miswaki yangu bora ila naona nao wameanza kuregeza.
Nataka mswaki ukipita kinywani jino na fizi viitikie.
Nyie mnatumia miswaki gani uko?
Naomba ka picha kiongoziNatumia Wisdom. Strong kila kitu hata handle yake.
Naomba ka picha kiongozi
Mswaki ni colgate๐ ukipata wisdom pia ni wa uhakika!Miswaki ya siku hizi haina ubora kiukweli.
Mi ni mtu nazingatia sana usafi wa kinywa ila naangushwa na miswaki ya siku hizi, Whitedent ndo ilikuaga miswaki yangu bora ila naona nao wameanza kuregeza.
Nataka mswaki ukipita kinywani jino na fizi viitikie.
Nyie mnatumia miswaki gani uko?