KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,744
- 86,370
Midada myengine inamambo ya ajabu lijitu unalitongoza kwa staha na ukimya ila lenyewe likiwa limekoswa ustahimilivu linakujibu kwa kubwatuka kwanguvu!, ni kama vile limepewa kipaza sauti ama tupo kwenye mkutano wa hadhara kila mtu anahitaji kusikia!!.
Sio tu habari kusambazwa mtaani mpaka mitandaoni!, huu sio ustaarabu kama mmeamua kuwa vyombo vya habari mseme ili nasisi tuanze kutongoza kwa vipaza sauti!.
Mtasema nang'aka kisa nimekataliwa, hapana na kukataliwa ni sehemu ya maisha lakini ndo mtu ukatae mpaka mishipa yashingo ikukakamae..!!
Hii tabia inachagizwa na nini?, mnashida gani au ndio style mpya ya kujibu watu hivyo..?
Sio tu habari kusambazwa mtaani mpaka mitandaoni!, huu sio ustaarabu kama mmeamua kuwa vyombo vya habari mseme ili nasisi tuanze kutongoza kwa vipaza sauti!.
Mtasema nang'aka kisa nimekataliwa, hapana na kukataliwa ni sehemu ya maisha lakini ndo mtu ukatae mpaka mishipa yashingo ikukakamae..!!
Hii tabia inachagizwa na nini?, mnashida gani au ndio style mpya ya kujibu watu hivyo..?