Ukonga Mombasa kuna nyumba inauzwa, nyumba in vyumba vitatu na master, daining room, sebule na jiko halafu kuna choo cha ndani na choo cha nje na bafu, pia maji yapo mda wote na ina fremu 3 moja inatumika, na kwa ulinzi zaidi nyumba ina fensi. Bei ni shilingi 50,000,000. Kwa mawasiliano wasiliana na namba 0788883962.