mchumihuru
Member
- May 3, 2015
- 6
- 3
Elimu na mafanikio ya kimaisha mwanaume akipata vitu hivyo viwili kabla ya kufanya chaguo la kuoa,anaweza kupata wakati mgumu kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwake.
Wanawake wengi na wenye elimu na wazur huvutiwa sana na wanaume wenye mafanikio kimaisha elimu,fedha,kazi nzur, mwanaume anaweza kuingizwa mjini akidhani anapendwa yeye but kumbe ni mafanikio yake.
Ni vyema ukamtambua mwanamke wa kumuoa kabla hujapata mafanikio ya maisha epuka mwanamke anaekupenda kutokana na status yako kama elimu, kazi,fedha unaweza ukawa unaingizwa mjini.
Wanawake wengi na wenye elimu na wazur huvutiwa sana na wanaume wenye mafanikio kimaisha elimu,fedha,kazi nzur, mwanaume anaweza kuingizwa mjini akidhani anapendwa yeye but kumbe ni mafanikio yake.
Ni vyema ukamtambua mwanamke wa kumuoa kabla hujapata mafanikio ya maisha epuka mwanamke anaekupenda kutokana na status yako kama elimu, kazi,fedha unaweza ukawa unaingizwa mjini.