KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,513
siku izi ni mwendo wa kuwavua tu kinavichenchede yani ungoji yani ni kukavuta kale kauzi kembambaaaNdoa = Ndoano, uwe tayali kuvua au kuvuliwa kama samaki.
siku izi ni mwendo wa kuwavua tu kinavichenchede yani ungoji yani ni kukavuta kale kauzi kembambaaaNdoa = Ndoano, uwe tayali kuvua au kuvuliwa kama samaki.
tukikubari hayo unayosema basi duniya itajaa changudoa kwa kuenda mbereYeah,ndoa ni km kuingiza mkono kwenye chombo usichojua kilichomo ndani yake,ukiona mkono unaumia unautoa! Tatizo jamii inalishwa sumu kwa kuaminishwa kuwa kujitoa kwenye ndoa eti ni dhambi! Lkn jamii hiyo haioni mateso anayopata mtu ktk ndoa. Turekebishe hivyo vyeti.
kwa iyo unamukosoa bwana mungu weye huna diniMkuu OLESAIDIMU wengi wamefungwa na mambo ya imani na kujikuta wakiishi maisha ya shida sana! Hii ni njia nyingine ya utumwa wa kifikra. Sumu za dini ktk mambo yote,likiwemo hili la ndoa,zimeharibu kabisa uwezo wa waafrika kuamua mambo yao. Mambo mengi wamefungwa na Imani.
natamani ningerikupata wewe ama wa kama wewe yani ni kura bata kwa kuenda mbere basi uniunganishe na mimiMi nnavyompenda mwandani wangu kwakweli expiry date siitaki..ntajuta sana