Showio
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 254
- 482
WEWE UNAONA NINI?Kila siku unapoamka asubuhi utakutana na “Negative Forces” (Nguvu Hasi) ambazo ni lazima ujifunze kukabiliana nazo ili usipoteze furaha yako. Mtu mmoja aliwahi kusema “Train Your Mind to see the good in EVERYTHING. Positivity is a CHOICE.The HAPPINESS of your Life DEPENDS in the QUALITY of your THOUGHTS”(Ifundishe AKILI yako kuona JAMBO ZURI katika KILA KITU.Kuwa na FIKRA CHANYA ni UCHAGUZI wako. Furaha katika maisha yako INATEGEMEA UBORA WA MAWAZO YAKO).
Kumbuka kuna TAARIFA utakutana nayo leo na usipokuwa makini itaifanya siku yako nzima iwe ya HUZUNI na ya KUKATISHA TAMAA. Kuna Mtu atakuambia NENO ambalo kama haujafanya maamuzi ya kuwa mtu wa furaha inaweza kukupotezea TUMAINI LAKO kabisa na ukaachana na ndoto yako, kuna jambo linaweza kutokea leo na likaleta DALILI zote kwamba umeshafika MWISHO.
Kumbuka: Kuona JEMA katika BAYA ni UAMUZI. Kumbuka kuna wakati ulishawahi kupitia HALI NGUMU na UKAPITA SALAMA. Pia katika kila CHANGAMOTO inayotokea Leo unaweza KUPITA kwa USHINDI pia.
Badala ya KUJISEMEA MANENO ya kushindwa ndani yako-“Nimeisha”, “Sina cha Kufanya”, “Mambo Magumu”, “Haitawezekana Tena” n.k Jisemee Maneno ya Ushindi UNAPOANZA SIKU YAKO.
LEO,CHAGUA KUONA JEMA KATIKA KILA BAYA!
Kumbuka kuna TAARIFA utakutana nayo leo na usipokuwa makini itaifanya siku yako nzima iwe ya HUZUNI na ya KUKATISHA TAMAA. Kuna Mtu atakuambia NENO ambalo kama haujafanya maamuzi ya kuwa mtu wa furaha inaweza kukupotezea TUMAINI LAKO kabisa na ukaachana na ndoto yako, kuna jambo linaweza kutokea leo na likaleta DALILI zote kwamba umeshafika MWISHO.
Kumbuka: Kuona JEMA katika BAYA ni UAMUZI. Kumbuka kuna wakati ulishawahi kupitia HALI NGUMU na UKAPITA SALAMA. Pia katika kila CHANGAMOTO inayotokea Leo unaweza KUPITA kwa USHINDI pia.
Badala ya KUJISEMEA MANENO ya kushindwa ndani yako-“Nimeisha”, “Sina cha Kufanya”, “Mambo Magumu”, “Haitawezekana Tena” n.k Jisemee Maneno ya Ushindi UNAPOANZA SIKU YAKO.
LEO,CHAGUA KUONA JEMA KATIKA KILA BAYA!

