Kwa kweli hali halisi ya maisha ni ngumu sana, mshahara hautoshi, ila sasa wengine tunaokolewa na rasilimali tulizoachiwa na wazazi wetu, tumeziendeleza ndiyo maana tunafaidi na kuona mshahara wa laki tano,sita hadi sana na nusu kama ni unatosha kuendesha maisha lakini hakuna kitu kabisa ni sawa na bure.