sokwe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,022
- 1,062
Aisee andreakalima very sorry ma friend naomba unisamehe sana wewe kama ni mhuni mfanyie mzazi wako huo uni....huwezi kunita ----- rafiki sisi wengine sio wahuni wa barabarani.....nita report kwa admin hili swala
Nilitegemea ungeomba kuuliza kama alivyofanya mwenzio na taarifa nusunusu kama ipi...weka taarifa yako unayohisi imekamilika....
Jifunze, nimetoa namba ya simu kama hujeelewa si upige....
Acha uswahili bwana hatufahamiani unatukana tu we vipi.....nitafanya kukutafatu kwa hili
Kuna watu hapa jf wana tabia za ajabu sana mkuu, ila achana nae tu.