Waheshimiwa iwe itakavyokuwa; bado tatizo langu lipo palepale kwanini Wazanzibar hupenda kulalamika sana bila kuangalia ukweli halisi? Bado naamini na najua kwamba TFF (na michezo kwa ujumla wake) sio suala la Muungano sasa TFF inazoroteshaje Soka la Wazenj? Ukiondoa FEDHA TOKA FIFA kipi kingine Wazenj wanataka Bara- TFF imlipie gharama maximo kwwenda Zenj kutafuta vipaji! nini kazi ya ZFA.
Ni kwanini ndugu zangu Wazenj mnauhusudu huu msemo "CHAKO CHETU NA CHANGU CHANGU"? Nadhani wakati sasa umefika kuyaweka mambo sawa kama kuna ulazima wa kuwa na SMZ (au muungano kabisa- siipendi hii).
Aidha nasikitika bado Wazenj hamjanishawishi hadi niweze kuomba radhi na kulifuta neno WANAFIKI. Hivyo bado nimesimama na mawazo yangu hadi hapo baadaye.