mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,731
uzi huu umefanana na maelezo ya jamaa mmoja aliyekuwa kwenye kipindi cha marumbano ya hoja itv wiki hii sijui ndio yeye!! Anyway unalolisema ni sawa kwani mtandao wa majangili ndio uliosababisha mawaziri wajiuzuru.
ni kweliMkubwa damu hulipwa kwa damu na machozi hulipwa kwa machozi....
Tungoje si mbali yataeleweka tu
Wana JF kama mnakumbuka baada ya uchaguzi wa Igunga kuna kada wa CHADEMA aliuwawa na mwili wake kuokotwa baadaye ukiwa umeoza na hata kutotambulika kwa Urahisi,Baadaye Uchaguzi wa Arumeru Aliuwawa Msafiri Mbwambo(Mwenyekiti wa Chadema USA RIVER)kwa kukatwa Shingo kwa msumeno wa engine ya Mnyororo(chain Saw)tena wauaji wakisaidiwa na viongozi wa CCM ambao walikamatwa na kutoroka mikononi mwa Polisi(kwa Msaada wa Viongozi wa CCM na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani)
Sikuona Bunge kusimama na kuunda tume,pia walikufa Waandamanaji(Chadema)kwa kuuwawa na Polisi Arusha Bunge lilikuwa kimya na hakuna aliyeinuka kusema,pia waliuwawa watu Kwa Bomu Olasiti(Arusha)kwa mipango michafu ya wana CCM hakuna aliyesema,Wabunge wa Chadema wakiwa wakipigwa na Kunyanyaswa na Polisi,hakuna aliyetakiwa kuwajibika,.
Kwenye Mkutano wa Chadema Soweto(arusha)walikufa Wana Chadema na watoto wadogo kwa kupigwa Risasi na polisi hiyo hawakuona Ila Majangiri ambao wana Mahusiano na wabunge wa CCM walipoguswa na mifugo ya Wakubwa kuguswa imebidi Baraza livunjwe na Wapo wanaotaka Pinda pia atimuliwe,
HUU NI UNAFIKI WA BUNGE...
Nadhani siyo tatizo lako bali na tatizo la ufahamu wako au madarasa uliyohitimu, Una uhakika gani kwamba pale Olasiti waliokufa ni wanachadema? Tujuze kwa vielezo mfano Namba za Kadi zao za uanachama na zilitolewa wapi na tarehe ngapi, pia tuthibitishie ka ni kweli kuwa kila kwenye mkutano wa CDM wote wanaokwenda pale mi wanachadema! Acha unafiki.
Nadhani siyo tatizo lako bali na tatizo la ufahamu wako au madarasa uliyohitimu, Una uhakika gani kwamba pale Olasiti waliokufa ni wanachadema? Tujuze kwa vielezo mfano Namba za Kadi zao za uanachama na zilitolewa wapi na tarehe ngapi, pia tuthibitishie ka ni kweli kuwa kila kwenye mkutano wa CDM wote wanaokwenda pale mi wanachadema! Acha unafiki.
Nadhani siyo tatizo lako bali na tatizo la ufahamu wako au madarasa uliyohitimu, Una uhakika gani kwamba pale Olasiti waliokufa ni wanachadema? Tujuze kwa vielezo mfano Namba za Kadi zao za uanachama na zilitolewa wapi na tarehe ngapi, pia tuthibitishie ka ni kweli kuwa kila kwenye mkutano wa CDM wote wanaokwenda pale mi wanachadema! Acha unafiki.
Ngoja nikujengee hoja we mbwira ili ukawafundishe na wenzako.. na hii ni falsafa ndogo tu..
kuna tofauti kati ya mwanachadema na mwanachama wa chadema, pia mwanaccm na mwanachama wa ccm.. mwananchi na mzalendo..
mwanachadema inajumuisha mwanachama wa chadema mwenye kadi na mkereketwa wa chadema asiye na kadi, mradi anaiunga mkono chadema.. the same to ccm..
Mwananchi ni mkazi yeyote wa nchi husika, hata kama amekuja visitation kwa miezi sita, wakati mzalendo ni mkazi wa kudumu wa nchi husika..
Sasa rudia kusoma thread ndio ulete maswali yako from ur holed-brain!!
Basi kama walokufa ni wana CCM we taja kadi zao na number(arusha CCM kabaki Magesa Mulongo na wewe
Mkuu mgeni wenu una hoja nzuri kwenye bandiko lako na ni hoja fikirishi sana ila sasa unapokosea ni kuhusisha mauji ama visa hivyo na vyama. Nadhani tungesema tu kwamba Watanzania waliuawa ama waliathirika kama ambavyo imekuwa kwenye hili sakata ka Tokomeza. Katika sakata la Tokomeza rejea imekuwa ni kwa Watanzania na wala si CHADEMA ama CCM.
Hoja yako ni fikirishi hasa linapokuja suala la kuguswa kwa majangili. Mimi naamini kwamba ukishirikisha jeshi katika operation yoyote lazima kuwe na shida kwa kuwa kama kawaida Jeshi la Ulinzi huwa halina mhalifu bali lenyewe linajua adui. Japo walifanya mengine ambayo si ya kibinadamu lakini majangili inabidi yasakwe yatokomezwe. Kwa sasa nadhani yanachekelea na kuendelea kuua tembo na kujipatia nyara zingine kemu kemu yakiwemo meno ya viboko na ngiri.