Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Utetezi wa ajabu sana huu dhidi ya uvunjaji wa katiba ya chama
mtoi, iwapo viongozi wengine waliendelea kuchaguliwa ilihali uchaguzi wao ni kinyume cha katiba, haihalalishi uvunjifu huo wa katiba uendelee milele kama de facto justification.
Haijalishi mwigamba alikuwepo ndani ya vikao au hakuwemo ndani ya vikao, so long as msajili ameona kuna tatizo ndani ya katiba ya chadema, nguvu zenu zijengeni kumshawishi msajili na umma kwamba kweli katiba yenu haina tatizo, na kwamba marekebisho/mabadiriko yalifanyika kihalali.
Slaa amewahi kukana kwamba kipengele hicho hakijawahi kuwemo kwenye katiba ya chama, nyinyi mnatwambia kilikuwemo mwaka 2004, mnajichanganya.
Vyovyote vile kama stratergy yenu ni kupambana na kina mwigamba, they have nothing to lose for now, ila mbowe na slaa wana much to lose politically. So you are fighting the wrong enemy!
mtoi, iwapo viongozi wengine waliendelea kuchaguliwa ilihali uchaguzi wao ni kinyume cha katiba, haihalalishi uvunjifu huo wa katiba uendelee milele kama de facto justification.
Haijalishi mwigamba alikuwepo ndani ya vikao au hakuwemo ndani ya vikao, so long as msajili ameona kuna tatizo ndani ya katiba ya chadema, nguvu zenu zijengeni kumshawishi msajili na umma kwamba kweli katiba yenu haina tatizo, na kwamba marekebisho/mabadiriko yalifanyika kihalali.
Slaa amewahi kukana kwamba kipengele hicho hakijawahi kuwemo kwenye katiba ya chama, nyinyi mnatwambia kilikuwemo mwaka 2004, mnajichanganya.
Vyovyote vile kama stratergy yenu ni kupambana na kina mwigamba, they have nothing to lose for now, ila mbowe na slaa wana much to lose politically. So you are fighting the wrong enemy!